Manara tunajua unavyotumika kutuhujumu

Manara tunajua unavyotumika kutuhujumu

Tumekulia timing sasa umeanza kujaa, figisu zako za kutompenda na kumuhujumu kocha Kaze wote tunajua, na tunajua bado wewe ni Simba, kwanini usituachie klabu yetu? Ondoka bhana Yanga tunawatu hatuhitaji mamluki kama wewe
Wafu mjizike uko uko kidimbwi hatutaki harufu ya maiti uku
20220426_130548.jpg
 
Tumekulia timing sasa umeanza kujaa, figisu zako za kutompenda na kumuhujumu kocha Kaze wote tunajua, na tunajua bado wewe ni Simba, kwanini usituachie klabu yetu? Ondoka bhana Yanga tunawatu hatuhitaji mamluki kama wewe
nyie ndio mnaoharibu hii timu!

huenda hata kadi ya uanachama huna unabaki kupigapiga kelele tu humu jukwaani

kama una ujasir wa kuyaongea hayo si uende ukaongee kwenye uongozi au unahis umu ni mahali pake?

siku zote mnafiki huongelea pembeni! eti akuachie timu yako we nani? au we ndio GSM?

Acheni uzwazwa kama unahitaji kumiliki timu nenda na wewe kaanzishe yako kitaani kwenu uko

hujiskii aibu kusema akuachie timu yako? hata huo ujasiri wa kusema timu yako sijui umeutoa wapi

ebu tuwekee hapo namba yako ya card ya uanachama tuone maana una bwabwaja tu huenda hu hangii hata buku kwenye club
 
Back
Top Bottom