Manara: Tutaiomba TFF mechi zijazo wapinzani wetu wacheze na Yanga Princess

Manara: Tutaiomba TFF mechi zijazo wapinzani wetu wacheze na Yanga Princess

Ingekuwa nchi za wanaojielewa kwa kauli hii ya udhalilishaji kwa wanawake huyu mpuuzi asingekuwa na kazi na sasa hivi wadhamini wa yanga wangekuwa wanachomoka mmoja mmoja. Yanga mlipotoka sana kumpa ajira huyu boya. Activists na waandishi wa bongo hawana akili ya kuliona hili
 
"Tukimaliza mechi yetu ya tarehe 30 na Makolo, tutawaandikia barua Bodi ya Ligi na TFF kama wataridhia mechi zetu zilizobaki wacheze na YANGA PRINCES"

Hii ni kauli ya Manara aliyoipost kwenye page yake ambapo ana maanisha kwa yanga ya saizi ilipofikia baada ya kucheza dhidi ya makolo mechi zitakazo baki kwa yanga kupeleka timu uwanjani itakuwa ni upotevu wa muda

Je, kama mwanamichezo unakubaliana na Jambo hili?

Source: Semaji la duni.... Manara

View attachment 2196303

View attachment 2196302
Kawaida ya punguani huongea kipunguani.
 
Ingekuwa nchi za wanaojielewa kwa kauli hii ya udhalilishaji kwa wanawake huyu mpuuzi asingekuwa na kazi na sasa hivi wadhamini wa yanga wangekuwa wanachomoka mmoja mmoja. Yanga mlipotoka sana kumpa ajira huyu boya. Activists na waandishi wa bongo hawana akili ya kuliona hili
Kawadhalilishaje wanawake?
 
Back
Top Bottom