Manara umeaibisha sana cheo chako leo.

dunia ya sasa siyo ya 1995. lazima kubadilika. pia kama alijua hawezi kuweka taarifa za klabu kwenye accounts binafsi kulikuwa na sababu gani ya kusema hana na hapendi kuwa na accounts binafsi.
 
afisa habari gani asiyependa mitandao ya kijamii. watu serious unakuwa umesha disqualify.
Hata baba Jesika kashasema anaomva malaika wazime mutandao ya kijamii...wakati ana account fb, twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…