Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimeona ni vema nikukumbushe mapema kwamba, kifungo chako cha kutojihusisha na masuala ya soka kwa miaka miwili kinahusu kweli kutojihusisha na soka.
Hutakiwi kujipendekeza kwenye mapokezi ya Yanga baada ya kufuzu kindondokela kwenye hatua ya makundi huko Tunisia, usije kusema sijakwambia.
Hivi ile faini ulishalipa?
Hutakiwi kujipendekeza kwenye mapokezi ya Yanga baada ya kufuzu kindondokela kwenye hatua ya makundi huko Tunisia, usije kusema sijakwambia.
Hivi ile faini ulishalipa?