johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu Uenezi wa CCM mkoa wa DSM mstaafu Alhaj Hajji Manara amesema Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta Utulivu nchini na Serikali inauunga mkono 100%
Manara amesema unaweza kukuta Maji hakuna, Umeme hakuna, Sukari hakuna lakini Wananchi kwenye mitandao ya Kijamii wako busy kuwajadili Pacome na Chama nani mkali
Manara amesema Utani wa Simba na Yanga umefanya Siasa za Tanzania kuwa nyepesi na rahisi sana
Credit: Mfanyakazi Online
Baadae Mlale Unono 😀😀🔥
======
Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta utulivu katika Siasa za Tanzania na Serikali inauunga mkono kwa asilimia mia kwa sababu kuna wakati ajenda inakuwa Simba na Yanga lakini huku umeme hakuna, maji yamekatika huku sukari hamna lakini watu wanafocus na Pacome na Chama nani zaidi, umeme hakuna, maji hakuna, sukari iko juu lakini ajenda kwenye Social media watu Pacome na Chama nani zaidi.
Pia soma:Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
Manara amesema unaweza kukuta Maji hakuna, Umeme hakuna, Sukari hakuna lakini Wananchi kwenye mitandao ya Kijamii wako busy kuwajadili Pacome na Chama nani mkali
Manara amesema Utani wa Simba na Yanga umefanya Siasa za Tanzania kuwa nyepesi na rahisi sana
Credit: Mfanyakazi Online
Baadae Mlale Unono 😀😀🔥
======
Pia soma:Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!