Mara ya mwisho Yanga kupigiwa penati ni lini?
Jibu swali, Chirwa anathamani ya tshs 200m au Hana?Ndo ajira yake kusemasema
Elewa somo ewe chura! Amezungumzia uzwazwa wa marefa siyo uongozi wa TFF!Enzi zile walisema kina Malinzi wanawaonea! Sasa 90% ya watu wa TFF ni mikia wenzao bado wanalalamika? Hawa jamaa kweli ni malalamiko Fc!
Kwani Manara alipojilabu kuwa ughali wa kikosi chao ni mtaji tosha wa kuifungia Yanga, hakuwa anajua kuwa Chirwa ameigharimu Yanga kiasi hicho?Jibu swali, Chirwa anathamani ya tshs 200m au Hana?
Bado swali halujajibiwa!Kwani Manara alipojilabu kuwa ughali wa kikosi chao ni mtaji tosha wa kuifungia Yanga, hakuwa anajua kuwa Chirwa ameigharimu Yanga kiasi hicho?
...... Kwa wasiojua maana, kweli halijajibiwa.Bado swali halujajibiwa!
Ningewashauri wasemaji wa vilabu kuishi kwa falsafa ya Plato ambaye alisema, ‘Wenye hekima huongea kwa sababu wana la kuongea.Wapuuzi (huongea) ilimradi waongee’. (Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something)Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.
Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi
Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa
Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
...... Kwa wasiojua maana, kweli halijajibiwa.
.........Kwa wasiojua maana, kweli ni kujikanyaga na kupindisha maneno.Yanini Kujikanyaga na Kupindisha Maneno? So museme tu kama anathamani hiyo au hana!!!
Hahahah manara Katibu mweneziMsemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.
Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi
Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa
Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
Kateni rufaa maana ya FIFA mpaka leo mnasubiriPia Kwa Wale Waliopakaza Simba Wamekata Rufaa! Manara Amekanusha Na Kusema Walichofanya Simba Ni Kupeleka Malalamiko Dhidi Ya Maamuzi Mabovu Ya Referees ili TFF ilione hilo na Kuweza Kuongea Nao ili Wajue Majukumu Yao na Si Kutoka Na Matokeo Majumbani Kwao..
MANARA: Maamuzi Ya Referee Uwanjani Akishayatoa Hayapingwi. Kwahiyo Hatukukuta Rufaa bali Tumepeleka Malalamiko tu dhidi ya Ubovu wa Referee na Wala si dhidi ya Matokeo ya Mchezo..
Simba Hatudai Point yoyote Kwa Mechi Na Yanga lakini Tunataka TFF ijue Kuwa Waamuzi wake ni Mabashite.