Manara: Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thamani ya mil.200?

Manara: Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thamani ya mil.200?

na yanga wameamua sasa kukomaa mechi zote finali mpaka ubingwa,wawe na njaa au shibe lengo kuwakomesha mikia fc,tff fc manara oyee timu
 
Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.

Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi

Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa

Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
Ningewashauri wasemaji wa vilabu kuishi kwa falsafa ya Plato ambaye alisema, ‘Wenye hekima huongea kwa sababu wana la kuongea.Wapuuzi (huongea) ilimradi waongee’. (Wise men speak because they have something to say; Fools because they have to say something)
 
Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.

Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi

Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa

Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
Hahahah manara Katibu mwenezi
 
Mi nashauri manara akasomee kozi za marefariii I'll awe anachezesha mechi za simba
 
Yeye mwenyewe ndo alianza kusema kikosi cha simba ni bilion 1.3

Manara kila siku kulalamika hìi yote kutaka point za mezanì.

Alafu wewe Manara ni msemaji wa simba ila kutwa kuionģelea Yanga as if unauzika na usemaji wa yanga, huko ni kuweweseka
 
Pia Kwa Wale Waliopakaza Simba Wamekata Rufaa! Manara Amekanusha Na Kusema Walichofanya Simba Ni Kupeleka Malalamiko Dhidi Ya Maamuzi Mabovu Ya Referees ili TFF ilione hilo na Kuweza Kuongea Nao ili Wajue Majukumu Yao na Si Kutoka Na Matokeo Majumbani Kwao..

MANARA: Maamuzi Ya Referee Uwanjani Akishayatoa
Hayapingwi. Kwahiyo Hatukukuta Rufaa bali Tumepeleka Malalamiko tu dhidi ya Ubovu wa Referee na Wala si dhidi ya Matokeo ya Mchezo..

Simba Hatudai Point yoyote Kwa Mechi Na Yanga lakini Tunataka TFF ijue Kuwa Waamuzi wake ni Mabashite.
Kateni rufaa maana ya FIFA mpaka leo mnasubiri
 
Sijui upungufu maana babu alishawahi nambia ukimuona mtu hana kichogo jua kichwani nusu taahira nusu mzima naanza kuamini kwako hajji manara
 
Back
Top Bottom