Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mwisho wa msimu mjiandae kwenda fifa tena,kwa wazee wale wa bln 1.3 ubingwa msahau nyie malalamiko fcPia Kwa Wale Waliopakaza Simba Wamekata Rufaa! Manara Amekanusha Na Kusema Walichofanya Simba Ni Kupeleka Malalamiko Dhidi Ya Maamuzi Mabovu Ya Referees ili TFF ilione hilo na Kuweza Kuongea Nao ili Wajue Majukumu Yao na Si Kutoka Na Matokeo Majumbani Kwao..
MANARA: Maamuzi Ya Referee Uwanjani Akishayatoa Hayapingwi. Kwahiyo Hatukukuta Rufaa bali Tumepeleka Malalamiko tu dhidi ya Ubovu wa Referee na Wala si dhidi ya Matokeo ya Mchezo..
Simba Hatudai Point yoyote Kwa Mechi Na Yanga lakini Tunataka TFF ijue Kuwa Waamuzi wake ni Mabashite.
Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.
Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi
Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa
Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
Mwisho wa msimu mjiandae kwenda fifa tena,kwa wazee wale wa bln 1.3 ubingwa msahau nyie malalamiko fc
Sunday manara kawa msemaji wa simba lini mkuu?namkubali sana msemaji wa club yangu ya simba sc,brother sunday manara.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] et mashabik wa mikia!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] uko vzur kaka. Kwamba "atakimbizwa" noma xanaManara anawajua vizuri mashabiki wa mikia baada ya mbwembwe zake kabla ya game anajua watakua wamemaindi sasa kuwapoza ndio anaibuka kama ivi huwezi amini mashabiki wa mikia watatulia na kuamini kua wanaonewa,ishu ya Omog iko wazi ni suala la muda tu hata mikia wanajua kua atakimbizwa.
Enzi zile walisema kina Malinzi wanawaonea! Sasa 90% ya watu wa TFF ni mikia wenzao bado wanalalamika? Hawa jamaa kweli ni malalamiko Fc!