Manara: Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thamani ya mil.200?

Manara: Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thamani ya mil.200?

Pia Kwa Wale Waliopakaza Simba Wamekata Rufaa! Manara Amekanusha Na Kusema Walichofanya Simba Ni Kupeleka Malalamiko Dhidi Ya Maamuzi Mabovu Ya Referees ili TFF ilione hilo na Kuweza Kuongea Nao ili Wajue Majukumu Yao na Si Kutoka Na Matokeo Majumbani Kwao..

MANARA: Maamuzi Ya Referee Uwanjani Akishayatoa
Hayapingwi. Kwahiyo Hatukukuta Rufaa bali Tumepeleka Malalamiko tu dhidi ya Ubovu wa Referee na Wala si dhidi ya Matokeo ya Mchezo..

Simba Hatudai Point yoyote Kwa Mechi Na Yanga lakini Tunataka TFF ijue Kuwa Waamuzi wake ni Mabashite.
Mwisho wa msimu mjiandae kwenda fifa tena,kwa wazee wale wa bln 1.3 ubingwa msahau nyie malalamiko fc
 
Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.

Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi

Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa

Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi

Manara hapa ndiyo mwisho wako wa kufikiri, sasa uneonyesha jinsi gani Simba walivyo na msemaji asiyehua mpira na anaekurupuka, pesa hazichezi uwanjani. Wanasimba tafakarini inawezekana umenunua wachezaji bomu au wanunuzi wa wachezaji pamoja na msemaji wa Simba wanepiga dili.
 
Manara hanaga amani tukiwapumulia kisogoni. Sasa atabwabwaja weeee mwisho wa siku atawaomba msubiri msimu ujao
 
Mwisho wa msimu mjiandae kwenda fifa tena,kwa wazee wale wa bln 1.3 ubingwa msahau nyie malalamiko fc


Yani Mnyama Simba Kutoka Sare na Kitimu Kidogo Kama [HASHTAG]#Yanga[/HASHTAG] imefanya Mpaka na Huyu Mganga Wa Kienyeji eti anazungumzia Mpira...
 
Msemaji anayechanganya...kwa mtizamo wangu hana quality ya usemaji wa klabu kubwa kama simba...yu afaa kuwa mc kwenye harusi za uswahilini au kwenye vigodoro
 
Haijawahi kutokea Ngoma.Chirwa na Tambwe wote wacheze na Simba na kufungwa...Manara mshamba ingawa kazaliwa Kariakoo
 
Manara anawajua vizuri mashabiki wa mikia baada ya mbwembwe zake kabla ya game anajua watakua wamemaindi sasa kuwapoza ndio anaibuka kama ivi huwezi amini mashabiki wa mikia watatulia na kuamini kua wanaonewa,ishu ya Omog iko wazi ni suala la muda tu hata mikia wanajua kua atakimbizwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] et mashabik wa mikia!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] uko vzur kaka. Kwamba "atakimbizwa" noma xana
 
Enzi zile walisema kina Malinzi wanawaonea! Sasa 90% ya watu wa TFF ni mikia wenzao bado wanalalamika? Hawa jamaa kweli ni malalamiko Fc!

Tena enzi za Malinzi msimu uliopita mda kama huu walikua wanaongoza kwa point lukuki!
 
Back
Top Bottom