Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Wameonyesha tena kuwa wao ndio wenye fan base kubwa kuliko timu yoyote hapa Bongo land kwa kuongoza kuuza jezi kuliko timu yoyote hapa Bongo.

Kumbuka msimu uliopita pamoja na wananchi kumaliza vibaya bila ubingwa ila ni timu iliyoingiza mashabiki wengi uwanjani kuliko timu nyingine so kwa vigezo hivi vianaifanya Yanga kuwa ni timu yenye watu wengi, wanajua nini maana ya soka....kwa kushabikia....

Je nini maana ya kuuza jezi mara tano zaidi ......? Mfano ni maana yake ni kwenye list hii:

Klabu tano zilizouza jezi zaidi

1. YANGA

2. YANGA

3.YANGA

4.YANGA

5. YANGA

6: Hapa ndipo zinaanzia timu nyingine mfano Coastal, Mbeya City, Mtibwa, Kagera na wengine


Source: Yanga news Manara

 
Tutawezaje kuthibitisha kauli iliyotolewa na mtu club hiyo? Amejuaje mauzo ya club nyingine ikiwa ametoka huku kabla hata msimu haujaanza??


Mwambieni alete facts, porojo zake zimeshazoeleka.
Maduka yanayouza bidhaa mkuu....yameonyesha Kuna biashara nzr za jez ya yanga zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…