Manara: Zidane akasirishwa na kitendo cha Pablo kufukuzwa Simba

Kweli simba ni next level mnaacha kujadili mambo ya saido mnakimbilia mambo ya simba
 
[emoji23][emoji28][emoji22]Manara bwege sana,hivi ni lini ataacha utoto.
 
Ikitokea mara baa G.S.M kasitisha ufadhili wake na kujitoa Yanga

🇿🇦 Siku hiyo hiyo senzo anasepa

♦️ Sekunde hiyo hiyo manara anaitisha press conference kuinanga Yanga na kutokomea kwenye maslahi
 
Kuleta mjadala kuhusu kauli za Manara ni kuivunjia heshima JF na kuifanya JF kijiwe cha wajinga
Usimjadili Manara humu tujadili nini kwenye michezo?Kapimwe IQ
 
Kweli simba ni next level mnaacha kujadili mambo ya saido mnakimbilia mambo ya simba
Saido Ni mzee....acha aende kwa MAKOLO....akaungane na kina kagere+ BOCCO
 
Ikitokea mara baa G.S.M kasitisha ufadhili wake na kujitoa Yanga

[emoji1221] Siku hiyo hiyo senzo anasepa

[emoji3532] Sekunde hiyo hiyo manara anaitisha press conference kuinanga Yanga na kutokomea kwenye maslahi
Yule Ni MWANANCHI.....hawezi kuondoka
 
Mimi naona wa kulaumiwa ni Feisal .

Kafukuzisha mmadrada kazi
Sijui kwanini Mikia aka Kolo FC hawaoni shida ilipo, kijana mdogo Feisal aka Zanzibar finest alitoka na mpira toka mstari wa katikati ya uwanja na akawaambia kwa vitendo Mikia kuwa anakwenda kuwapasua cha kushangaza timu nzima Kolo fc eti ikawa na bumbuwazi!! kisha wakaamka usingizini badala ya kwenda kumkaba wakawa wanakimbilia golini eti kuzuia kombora atakalofumua!!

Watafukuzana Simba mmoja baada ya mwingine hadi wataisha maana Nabi anafundisha kushambulia na Kaze anafundisha kukaba staili ya mnyororo kila ukimpita mmoja unakutana na wengine wawili hadi unarudisha mpira nyuma. Project yao ni miaka kumi Yanga ifike kiwango cha Al Ahly ambako Nabi alifundisha hapo kabla. Simba wataumia na kufukuzana kwa 10 years!@

Professa Nabi bado yupo sana Yanga na atawakera si kidogo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…