Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good move so far
Safi sana. Ubunifu mkubwa. Nime save namba zenu
Tupo Kinyerezi boss karibu sanaOfisi ipo sehemu gani?
Nataka kusafirisha mizigo kutoka Arusha Meru kuja Mwanza je itagharimu shilingi ngapi ?karibuni sana bado huduma inapatikana....tusapotini jamani...hatuna kazi nyingine hapa mjini na bado tunaendelea kuwasafirishia mizigo kokote duniani
Nataka kusafirisha mizigo kutoka Arusha Meru kuja Mwanza je itagharimu shilingi ngapi ?
Kitanda, Godoro, kabati na vingine vidogo vidogo.
Idea nzuri sana, komaeni msiishie njiani maana changamoto mwanzoni ni nyingi, pia bei iwe rafiki.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
tunaendelea kuhamisha watu kwa ustarabu mkubwa...ukitaka kuhama dar kwenda mikoa yote tunakuhamisha..karibuni sana...tupo dar kinyerezi...dials 0744302922
Mkuu unapika na UBWABWA?asante sana
ILA zoezi la kuhama ni mateso sana! Mkiwa na bei nzuri mtapata kazi nyingi sana.tunaendelea kuhamisha watu kwa ustarabu mkubwa...ukitaka kuhama dar kwenda mikoa yote tunakuhamisha..karibuni sana...tupo dar kinyerezi...dials 0744302922
Mkuu unapika na UBWABWA?
ILA zoezi la kuhama ni mateso sana! Mkiwa na bei nzuri mtapata kazi nyingi sana.