Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayehama Dodoma kuja Dar
Ana vitu kama vitanda, friji, makabati, vyombo including meza n.k
Bei makadirio?
angepika na ubwabwa ungemuungisha!?Mkuu unapika na UBWABWA?
Bila shaka.angepika na ubwabwa ungemuungisha!?
Kama siyo ubwabwa wa nazi je!??Bila shaka.
Nikionja sirudi tena.Kama siyo ubwabwa wa nazi je!??
Naomba ikikupendeza nielewe nilivyoelewa tafadhali..!Nikionja sirudi tena.
No yako ya WhatsApp ni ipi?tuendelee kupiga simu jamani...0744302922
No yako ya WhatsApp ni ipi?
SanaaILA zoezi la kuhama ni mateso sana! Mkiwa na bei nzuri mtapata kazi nyingi sana.
Safi sana..ila na ombi..naweza pata kazi hata ya kujitolea..?karibuni sana bado huduma inapatikana....tusapotini jamani...hatuna kazi nyingine hapa mjini na bado tunaendelea kuwasafirishia mizigo kokote duniani
Safi sana..ila na ombi..naweza pata kazi hata ya kujitolea..?
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mleta mada waambie ninyi ni waaminifu na mnatunza siri za wateja wenu hata kama mteja kahamia kwa mchepuko/danga lake.
Mm ni ME mwenye kende nzito.asante sana dada angu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mm ni ME mwenye kende nzito.
Mmetisha sana kuja na hii idea wakuu. This is innovation kama mbele yaaniKaribuni ndugu jamaa na marafiki...manase fast courier ni kampuni inayojihusisha na kusafirisha mizigo na parcels na kumhamisha mtu mpaka kwake na kumpangia vitu kumfungia madish na kila kitu. Siku ya kuhama wewe huteseki ni kulala usingizi mnono usio na stress
View attachment 2274297
View attachment 2274298
View attachment 2274299
View attachment 2274300
Mmetisha sana kuja na hii idea wakuu. This is innovation kama mbele yaani