Manase Fast Courier kusafirisha mizigo duniani kote, mikoani kwa haraka mpaka mlangoni kwako

kama mbele kaka, mtusaidie kushare tu...shukrani kwa kupitia uzi huu
Hakika mkuu. Nashauri mtafute digital marketing services hasa Search Engine Optimization na Search Engine Marketing kuweza kuwafikia wahitaji wengi wa hii huduma
 
Hakika mkuu. Nashauri mtafute digital marketing services hasa Search Engine Optimization na Search Engine Marketing kuweza kuwafikia wahitaji wengi wa hii huduma

kaka kama upo akilini...na appointment muda huu na hawa watu wa digital marketing...asante sana aseee
 
Inaweza kufika gharama gani kwa computer ya imac 2019 iko usa kentuky nataka ifike dar es salaam
 
Habari wakuu, sisi Manase fast courier tumekuja na huduma yetu ambayo ni endelevu ya kutuma mizigo kutoka tanzania kwenda nchi zingine na kutoka nchi zingne kuja Tanzania.

Kwa njia ya meli ni China peke yake na njia ya ndege ni nchi nyingine nyingi 32+ kama Dubai, China, Malaysia, Singapore, India, na zingine nyingi

Vilevile kwa wakazi wa ndani tunasafirisha mizigo mkoa kwa mkoa na kuhamisha watu wanaotaka kuhama kwa usafiri wetu karibuni sana.

dial 0688115131/ 0744302922 / 0718072707 watsapp
tunapatikana Kinyerezi, Dar es salaam
 
Man ndege zenu? Au madalali mawapa Hela na nyie mnaenda kutuma Post office?. .

Gharama zenu zikoje hamjaambatanisjha. .

Gharama zinatokana na items na haziwi fixed hasa kwa ndege airlines huwa wanabadili gharama ila zinaweza kaa hataa kwa miezi sita...ila kwa ndege ni 12.5 usd...13 usd hadi 15 usd per kilo kwa china meli ni 450usd sqm 400usd adi 500 kutoka a na mzigo ulionao...

NB: hatumiliki ndege
 
Gharama zikoje kisafirisha mzigo kutoka India? Kama 5kg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…