likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
mbona umesema wanaongoza dhidi ya Man u [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Sioni wa kumzuia Man city kuchukua ubingwa kwa sababu leo imeendelea kushinda 4 kwa 0 dhidi ya team ambayo man utd walishnda kwa mbinde 2-1
Pep lazima anyakue ndoo, maurinho kachemka na mbinu yake ya kudefend.
Sasa wanaongoza kwa tofauti ya point 14 dhidi ya manchester utd..
Pep is a professional manager
Mkuu kwani huwezi kumuunga mkono ukiwa huko huko uliko teh teh teh!Nimeamua kuhamia Man City ili kuunga mkono juhudi za Pep kuchukua ubingwa wa EPL, manaa yale yote niliyokuwa nayapigania na timu yangu ndiyo yanayofanywa na awamu hii Man City chini ya kocha Guardiola.
Hata Wenger ni professional manager ila Pep anapaswa kutafutiwa jina lingine.Pep is a professional manager
umeamua kuwa mwazi mkuu safi sana aiseeNimeamua kuhamia Man City ili kuunga mkono juhudi za Pep kuchukua ubingwa wa EPL, manaa yale yote niliyokuwa nayapigania na timu yangu ndiyo yanayofanywa na awamu hii Man City chini ya kocha Guardiola.
we waache tu..midomo imekaribia kufungwa hyoTulia ww Mechi bado nyingi sana
Tumvue Mourinho uspecial one. Aint special no more....Consultant TUMWITE JINA GANI HUYU JAMAA