likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Sioni wa kumzuia Man city kuchukua ubingwa kwa sababu leo imeendelea kushinda 4 kwa 0 dhidi ya team ambayo man utd walishnda kwa mbinde 2-1
Pep lazima anyakue ndoo, maurinho kachemka na mbinu yake ya kudefend.
Sasa wanaongoza kwa tofauti ya point 14 dhidi ya manchester utd..
Pep is a professional manager
Pep lazima anyakue ndoo, maurinho kachemka na mbinu yake ya kudefend.
Sasa wanaongoza kwa tofauti ya point 14 dhidi ya manchester utd..
Pep is a professional manager