Manchester city has to wait, champagne back to the fridge

Manchester city has to wait, champagne back to the fridge

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
wzN4FeRoJHErxcyTIvxZvaVSUzKtGJ%2BtzmCAZdjvbNQ%3D-resultThumbUrl.jpg
 
Mancity huenda ikashindwa kunyakua ubingwa EPL ikibakiwa na mechi 3. Ita draw mechi yake moja na kushindwa mbili. Na Manchester united kushinda mechi zake zote 4 zilizobakia nakunyakua ubingwa
 
Mancity huenda ikashindwa kunyakua ubingwa EPL. Ita draw mechi yake moja na kushindwa mbili. Na Manchester united kushinda mechi zake zote 4 zilizobakia nakunyakua ubingwa
Sio kwa man city hawa....
 
all results all possible
Ni kweli kabisa kwenye mpira lolote laweza kutokea. City kabakiza mechi 3 Newcastle, Brighton na Aston Villa wote vibonde lakini wabishi.

City ata draw na Newcastle, atanyukwa na Birghton na Aston Villa. Hapo atakuwa na point 81.

Manchester united atashinda mechi zake zote nne zilizosalia nakufikisha points 82.

Kwa iyo city msimu huu itajivunia tu taji la carebou kwasababu kwenye Uefa inform Chelsea italitwaamapema ikiongozwa na wamatumbi wenzetu Rudiger na kante.
 
Kwenye EPL City anachukua mapema tu na Newcastle.
Newcastle huwa hafurukuti hata kidogo kwa City. Tena siku hiyo atakula mvua za kutosha.
Japo natamani sana hayo mahesabu yako yawe hivyo lakini haiwezekani.

Halafu hiyo heading umemuiga PETER DRURY
 
Kwenye EPL City anachukua mapema tu na Newcastle.
Newcastle huwa hafurukuti hata kidogo kwa City. Tena siku hiyo atakula mvua za kutosha.
Japo natamani sana hayo mahesabu yako yawe hivyo lakini haiwezekani.

Halafu hiyo heading umemuiga PETER DRURY
Hapana sijamuiga PETER DRURY bali nimemuiga MWANAIDI MAGUIRE!
 
Ni kweli kabisa kwenye mpira lolote laweza kutokea. City kabakiza mechi 3 Newcastle, Brighton na Aston Villa wote vibonde lakini wabishi.

City ata draw na Newcastle, atanyukwa na Birghton na Aston Villa. Hapo atakuwa na point 81.

Manchester united atashinda mechi zake zote nne zilizosalia nakufikisha points 82.

Kwa iyo city msimu huu itajivunia tu taji la carebou kwasababu kwenye Uefa inform Chelsea italitwaamapema ikiongozwa na wamatumbi wenzetu Rudiger na kante.
Mbona husemi united kabakisha na nani?
 
Ni kweli kabisa kwenye mpira lolote laweza kutokea. City kabakiza mechi 3 Newcastle, Brighton na Aston Villa wote vibonde lakini wabishi.

City ata draw na Newcastle, atanyukwa na Birghton na Aston Villa. Hapo atakuwa na point 81.

Manchester united atashinda mechi zake zote nne zilizosalia nakufikisha points 82.

Kwa iyo city msimu huu itajivunia tu taji la carebou kwasababu kwenye Uefa inform Chelsea italitwaamapema ikiongozwa na wamatumbi wenzetu Rudiger na kante.
Umeongea kinyume chake
 
Ni kweli kabisa kwenye mpira lolote laweza kutokea. City kabakiza mechi 3 Newcastle, Brighton na Aston Villa wote vibonde lakini wabishi.

City ata draw na Newcastle, atanyukwa na Birghton na Aston Villa. Hapo atakuwa na point 81.

Manchester united atashinda mechi zake zote nne zilizosalia nakufikisha points 82.

Kwa iyo city msimu huu itajivunia tu taji la carebou kwasababu kwenye Uefa inform Chelsea italitwaamapema ikiongozwa na wamatumbi wenzetu Rudiger na kante.
Man u atamuwezea Leicter?
 
Back
Top Bottom