Manchester City hatofungwa leo, msije mkasema sijawapa tahadhari

Manchester City hatofungwa leo, msije mkasema sijawapa tahadhari

Baada ya kuchezea vipigo mfululu, Man City leo yupo ugenini Anfield kucheza na vinara wa ligi Liverpool

Mechi ya leo, Man City hatofungwa. Hesabu za kinyota zinaonyesha kabisa leo Liverpool sio siku yao pendwa.

Tukutane baada ya dakika 90
Ati?
 
Back
Top Bottom