Manchester City kukosa mataji yote mawili EPL na FA. Wabahatishaji Arsenal bingwa leo

Manchester City kukosa mataji yote mawili EPL na FA. Wabahatishaji Arsenal bingwa leo

Ngoja nijifikirie kwanza halafu nitasema jambo ila kwa sasa tuanze mbali kidogo
Screenshot_20240519-112133_Google.jpg
 
N
Naiogopa hiyo baadaye mno, natamani hata isifike.
Mungu ibariki Arsenal yangu.
Pole. Kombe hamuwezi kupata. Game mliyopoteza dhidi ya eveton ndio imewagharimu.

Jipangeni kwa msimu ujao, ambao utakuwa mgumu zaidi. Chelsea naye anaingia kwenye kinyanganyiro.
 
E bana wanajamvi inakuwaje.

Bila kupoteza muda leo ndo siku ya mwisho za mechi zote kuchezwa kwenye ligi kuu ya mpira Uingereza.

Lakini mechi ambazo zinasubiriwa kwa hamu kuangaliwa na kufuatiliwa ni kati ya Man City vs Westham united na Arsenal vs Everton.

Man city inahitaji kushinda hii mechi hili itwae ubingwa. Arsenal inaomba Mancity ifungwe na yenyewe ishinde. Ama Mancity itoke sare mayo Arsenal ishinde kwa magoli mengi.

Wanajamvi wengi wamenifuata PM kuomba maoni yangu kuhusu mechi za leo kwasababu ya ujuzi wangu wa chambua kwa weledi ligi mbali mbali za mpira duniani hata za Haiti na CAR.

Ni hivi Mancity atafungwa leo na Arsenal na Arsenal mbahatishaji atamfunga Everton kutwaa ubingwa.

Pia Mancity atafungwa kwenye FA cup dhidi ya vibonde Manchester United.

Kwa iyo Manchester city msimu hatatwaa taji lolote.

Maghayo's brother.

Dumas the terrible EvilSpirit Chaliifrancisco MAWEED mkorea
We mbusi. Dakika chache zijazo Westham wanasambaratishwa kinyama
 
Tumekubaliana kila mtu ashinde mechi zake, Ubingwa pekee kwa Arsenal ni kuliiba kombe
 
Kumekuchaaaaa!
Leo mtu anaenda vuliwa kyupi live!
Ngoja tuone leo kama zee la Stoo la vilipuzi kama litailipua London!

Today is great fire of London or Prague?
😁😁
 
E bana wanajamvi inakuwaje.

Bila kupoteza muda leo ndo siku ya mwisho za mechi zote kuchezwa kwenye ligi kuu ya mpira Uingereza.

Lakini mechi ambazo zinasubiriwa kwa hamu kuangaliwa na kufuatiliwa ni kati ya Man City vs Westham united na Arsenal vs Everton.

Man city inahitaji kushinda hii mechi hili itwae ubingwa. Arsenal inaomba Mancity ifungwe na yenyewe ishinde. Ama Mancity itoke sare mayo Arsenal ishinde kwa magoli mengi.

Wanajamvi wengi wamenifuata PM kuomba maoni yangu kuhusu mechi za leo kwasababu ya ujuzi wangu wa chambua kwa weledi ligi mbali mbali za mpira duniani hata za Haiti na CAR.

Ni hivi Mancity atafungwa leo na Arsenal na Arsenal mbahatishaji atamfunga Everton kutwaa ubingwa.

Pia Mancity atafungwa kwenye FA cup dhidi ya vibonde Manchester United.

Kwa iyo Manchester city msimu hatatwaa taji lolote.

Maghayo's brother.

Dumas the terrible EvilSpirit Chaliifrancisco MAWEED mkorea
unaota
 
Man City ana point 88 mpaka Muda huu anaongoza Goli 2-0 tayari ana point 3 hapo jumla 91

Arsenal mpaka Muda huu hajapata hata Goli 1

Man City Bingwa wa EPL 2023/2024
 
E bana wanajamvi inakuwaje.

Bila kupoteza muda leo ndo siku ya mwisho za mechi zote kuchezwa kwenye ligi kuu ya mpira Uingereza.

Lakini mechi ambazo zinasubiriwa kwa hamu kuangaliwa na kufuatiliwa ni kati ya Man City vs Westham united na Arsenal vs Everton.

Man city inahitaji kushinda hii mechi hili itwae ubingwa. Arsenal inaomba Mancity ifungwe na yenyewe ishinde. Ama Mancity itoke sare mayo Arsenal ishinde kwa magoli mengi.

Wanajamvi wengi wamenifuata PM kuomba maoni yangu kuhusu mechi za leo kwasababu ya ujuzi wangu wa chambua kwa weledi ligi mbali mbali za mpira duniani hata za Haiti na CAR.

Ni hivi Mancity atafungwa leo na Arsenal na Arsenal mbahatishaji atamfunga Everton kutwaa ubingwa.

Pia Mancity atafungwa kwenye FA cup dhidi ya vibonde Manchester United.

Kwa iyo Manchester city msimu hatatwaa taji lolote.

Maghayo's brother.

Dumas the terrible EvilSpirit Chaliifrancisco MAWEED mkorea
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] unajisikiaje hadi muda huu
 
Back
Top Bottom