radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Aisee nasubiria kuona Pep anavyojikunja pindi mchezaji akikosa goli, uzuri ni kua wote wameingia timu ikiwa mbovu japo Man Utd kuna uwezekano mkubwa wa kufungwa kutokana na beki yao kutokuimarika bado.
Timu ipi yenye magoli machache ya kufungwa toka 1 had 3?