Manchester united friend match tumefungwa zote

Manchester united friend match tumefungwa zote

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Wachezaji a club tajwa Kwa hakika hawakuitwa na timu za nchi zao kwenye world cup tournament na Kwa kweli bora wauzwe wote.


Wamedhihirisha kutoitwa kwaao na Coaches was right kutowaita. Lakini pia wapo ambao nchi zao hazikufuzu na ilikuwa sahihi kutofuzu.

Its just a mathematics and numbers don't lie.


Wewe toa povu tu.
 
Hawa wachezaji waliobakia waliokosa kuitwa world cup ni bora wauzwe wote.


Wamedhihirisha kutoitwa Coaches was right kutowaita. Wasiofuzu ilikuwa sahihi kutofuzu.

Its just a mathematicsnas numbers don't lie
Uandishi wako unaleta shida sana kukuelewa
 
Hawa wachezaji waliobakia waliokosa kuitwa world cup ni bora wauzwe wote.


Wamedhihirisha kutoitwa Coaches was right kutowaita. Wasiofuzu ilikuwa sahihi kutofuzu.

Its just a mathematicsnas numbers don't lie
Itakuchukus miaka kama 379 hivi ili ujue mpira
 
kwa Man U ya sasa kufungwa ni kawaida. wakiwa full squad wanafungwa mfululizo mpaka mechi tatu za kwenye michuano.
 
Back
Top Bottom