Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepigwa. Man Utd wazee wa kuibiwa Conte angekomaa watoe hata million 50. Well, wametuzidi mbinu. Walijua lazima auzwe kwani Bakayoko tayari yupo ndani ya nyumba. Pressure was on Chelsea to sell.Conte kwa nini anawauzia direct rivals wake silaha kali? Hata simuelewi tena bei ya kutupa, sijui mkataba wake ulikuwa unakaribia kuisha??
Mwache aende.kesha choka huyo.alikuwa anatoa maboko ya kijinga tuna fungwa.Conte kwa nini anawauzia direct rivals wake silaha kali? Hata simuelewi tena bei ya kutupa, sijui mkataba wake ulikuwa unakaribia kuisha??
Bakayoko