Manchester United imekamilisha Uhamisho wa Nemanja Matic kutoka Chelsea kwa dau la £35Million

Manchester United imekamilisha Uhamisho wa Nemanja Matic kutoka Chelsea kwa dau la £35Million

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
IMG_20170731_183052.jpg
Matic atavaa Jezi namba 31
-Amesaini Miaka 3
-Mwaka huu Ubingwa wetu
 
Conte kwa nini anawauzia direct rivals wake silaha kali? Hata simuelewi tena bei ya kutupa, sijui mkataba wake ulikuwa unakaribia kuisha??
Tumepigwa. Man Utd wazee wa kuibiwa Conte angekomaa watoe hata million 50. Well, wametuzidi mbinu. Walijua lazima auzwe kwani Bakayoko tayari yupo ndani ya nyumba. Pressure was on Chelsea to sell.
 
Back
Top Bottom