comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
wewe nipe tu dada yako nimtindue, hapo utakua msaada mkubwa sana kwanguUko wapi kesho nikitoka ofisini nikupitie nikupeleke ukapajue..
Uoge kabisa lakini na upake mafuta. Kesho jioni nikupitie.
Me nataka nikusaidie tu dogo.
ndio ila nataka nihamie cityKWA HIYO WEWE NI SHETANI MWEKUNDU?
Maskini jeuri.wewe nipe tu dada yako nimtindue, hapo utakua msaada mkubwa sana kwangu
oohhooo
mimi ndimi.Maskini jeuri.
Poa shetani mwekundu.ndio ila nataka nihamie city
poa njembaPoa shetani mwekundu.
Huyo ni shetaniKWA HIYO WEWE NI SHETANI MWEKUNDU?
Hahahadogo uko maeneo gani, nahitaji kijana wa kunioshea magari yangu kila weekend, mashine ninayo.mshara ni mnono, uje ukiwa smart kidogo usiwe vululu vululu sana.
mimi ndimi.
Hawa mapimbi ni timu yangu ila kwasasa nataka nihamie niende man city!
hawa makima kusajili wanasajili wachezaji wa kawaidaaaa, utadhani wanaenda kushindana na NAMUNGO FC!
kwa style hii man yuuu kuchukua Kombe itakua mtihani aseeeee
kweli man yuuu imekua ya kiboya watu wanaenda kujilia pesa zabure.. itafikia wakati wachezaji umri ukiwatupa mkono hawataenda China tena wataenda Man yuuuu kuvuna Pension.
kumbaafuuuuu!
Hilo neno utani toa maana ni ukweli mtupuNyie nawafananisha na wanawake malaya...yaani bwana wako akifulia kidogo unaenda kwa bwana mwingine....utani tu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hilo neno utani toa maana ni ukweli mtupu
Ww hapana hii kazi inawafaa watoto wa mitaani kama huyu kipepe.Hahaha
Mkuu , nisaidie hiyo kazi [emoji28][emoji1]