comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
- #21
Asee wanaboaa sana Hawa jamaa[emoji45] [emoji45] [emoji45] Kipepee unazingua
Smart guy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee wanaboaa sana Hawa jamaa[emoji45] [emoji45] [emoji45] Kipepee unazingua
Smart guy
Ungehamia Arsenal kunakufaa
Mpaka nimt0mbe Dada yako Ndio utaniheshimuuWw hapana hii kazi inawafaa watoto wa mitaani kama huyu kipepe.
mimi nilihama man u tangu 2004
Miaka mitatu iliyopita liverpool walisajili wachezaji hao hao wa kawaida. Watu waliwacheka mwanzoni..leo hii ndio wamechukua uefa. Mpira ni malengo.. kama unataka instant success nenda real madrid
Haina nomaaMpaka nimt0mbe Dada yako Ndio utaniheshimuu
SawaaaaSishangai wewe kutukana tukuna hovyo... Watoto wa mtaani wengi hamjastaarabika.
Ninacho sema. Wkt kikosi hiki kinaanza.. kuna mtu alikuwa anamjua salah, kuna mtu alikuqa anamjua mane.. trent anold.. ? Kuna mtu alikuwa anawafaham. Hata baada ya kwenda liverpool.. kuna mtu aliwatilia maanani?Kwasasa liver wamechukua UEFA na wchezaji wa kawaida? Mane utamlingalisha na Lukaku?
Salah ni sawa na Rashford?
VVD na smalling wapi na wapi?