Manchester United kusuasua dawa hii hapa

Manchester United kusuasua dawa hii hapa

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
Arudi kufundisha mzee fergie tu hakuna mwingine pale, wote ni upepo tu majanga mtalia sana mwaka huu, huyo ole masai guna ameshindwa asubuhi tu.asanteni
 
Mzee anapumzika mshike mshike wa kuamka kila siku alfajiri sio mchezo

Ole naye mjinga fulani tu asiyejua anataka nn
 
Hakuna tofauti kati ya fergie na ole.Rejea Fergie alipokabidhiwa timu alikaa misimu mingapi kabla ya kuanza kutwaa mataji.Huyu huyu au Giggs full stop.Hawa ndo wanajua falsafa ya timu.Mambo ya kuwa na makocha wanaogeuza washumbuliaji wawe beki nani anataka?.
Arudi kufundisha mzee fergie tu hakuna mwingine pale, wote ni upepo tu majanga mtalia sana mwaka huu, huyo ole masai guna ameshindwa asubuhi tu.asanteni
 
Van gaal alikuwa anaelekea kuiweza man u wakamtimua
 
Hakuna tofauti kati ya fergie na ole.Rejea Fergie alipokabidhiwa timu alikaa misimu mingapi kabla ya kuanza kutwaa mataji.Huyu huyu au Giggs full stop.Hawa ndo wanajua falsafa ya timu.Mambo ya kuwa na makocha wanaogeuza washumbuliaji wawe beki nani anataka?.
Tofauti ipo. Mmoja anaishi kwenye ukweli (Fergie) mwengine anaishi kwenye ndoto (Ole). Babu fergie hataki masikhara kazini, muulize Beckham, na u star wake lakini hasahau aliporushiwa kiatu na Babu Fergie, Ole atayaweza wapi? Kung'ang'ania wachezaji walokuwa hawataki kucheza Man Utd tu!
 
Tatizo kuu la Man Utd ni Uongozi mbovu ndani ya club.

Squad ya timu imejaa average players halafu wanataka na wao wagombee ubingwa. watasahau juu ya hilo.
 
Ole anataka masikhara kazini?
Tofauti ipo. Mmoja anaishi kwenye ukweli (Fergie) mwengine anaishi kwenye ndoto (Ole). Babu fergie hataki masikhara kazini, muulize Beckham, na u star wake lakini hasahau aliporushiwa kiatu na Babu Fergie, Ole atayaweza wapi? Kung'ang'ania wachezaji walokuwa hawataki kucheza Man Utd tu!
 
Athumani bilali aliyefukuzwa alliance ni mwarobaini wa Manchester
 
Kuna kuzeeka akili...kumbukeni...co kwakuwa yupo hai ndio kila jambo litawezekana
 
ManU ndo basi tena. Ktk dunia hii akina Alex Ferguson huwa hawaji wawili wawili. Hata wale vijana wa academy (Class of 92) - Beckham, Giggs, Scholes, Gary & Phil Neville na Nicky Butt huwa hawaji mara mbili mbili. Angalia Liverpool - takriban miaka 30 sasa tangu walipokuwa wakitamba ktk miaka ya 80 - wanashindwa kuchukua kombe la Premier League. ManU ni miaka 6 tu sasa wanahangaika.
 
ManU ndo basi tena. Ktk dunia hii akina Alex Ferguson huwa hawaji wawili wawili. Hata wale vijana wa academy (Class of 92) - Beckham, Giggs, Scholes, Gary & Phil Neville na Nicky Butt huwa hawaji mara mbili mbili. Angalia Liverpool - takriban miaka 30 sasa tangu walipokuwa wakitamba ktk miaka ya 80 - wanashindwa kuchukua kombe la Premier League. ManU ni miaka 6 tu sasa wanahangaika.
Mbona wamekuja mara mbili? Umesahau man UTD ya sir Busby? Iliojaa Vitoto Kama class of 92? Iliobeba Uefa na ligi za kutosha? iliotoa baloon D or wachezaji watatu tofauti ndani ya muda machache? Ilipokuwa na Watu Kama George best, Denis law na Sir Bobby Charlton?
 
Kwa umri wa fergie akirudi ile nafasi basi tutampoteza mazima
 
Back
Top Bottom