Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
timu au kitu chochote kikufikia mafanikio ya mwisho/climax lazima kishuke, mfano ni liverpool ilitesa sana england lakini hadi leo wana miaka zaidi ya 20 hawajachukua ubingwa england wamechukua mara 18 manchester united mara 20 sasa wameanguka hawachukui leo wala kesho,hadi miaka kadhaaArudi kufundisha mzee fergie tu hakuna mwingine pale, wote ni upepo tu majanga mtalia sana mwaka huu, huyo ole masai guna ameshindwa asubuhi tu.asanteni
mtapanga sana lakini haiwezekani! !Rashford awe anaanzia Benchi awe anabadilishana na James
Martial aingie kati Akipokezana na Greenwood
Pogba pemben Fred akae kati McTom
Dalot apnde upande wa kulia Mbele..
Awe anapokezana na pereira Wakati tukisubir kufanya usajili mwez wa kwanza.!