John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,207
- 2,593
Mmmh hapa nyumbu watashinda mechi ipi sioni hata moyaPray for nyumbuView attachment 3182756
asenyo ndo siwaelewagi miaka 21 bila epl miaka 200 bila uefa & europa πNyumbu huwa siwaelewi wanataka nini kwenye ligi
Mbona hata sisi tulikuwa ovyo yaani hata dalili zilikuwa hazipo angalia leo tulipoTumekwisha,
yamebaki mazoea ya kuendelea kuifuatilia hii timu.
Sioni miujiza ya kuturudisha tena juu.
Saint Anne nilimuona jukwaa la livakuki anamlilia robbo si ni liver huyo.Usijali mkuu watabadilika hata Chelsea ilikuwa hivi hivi hahaha.
Kina Saint Anne na uumbwaaa Chaliifrancisco yatabaki kulia balaa.
Nyau de adriz
Watu walisema na watasema tena, tatizo la man u ni wachezaji, wachezaji, wachezaji. Haswa english players, ni wa kuondoaMtakapo kuja kutambua kua kipara ETH hakua tatizo itakua too lateView attachment 3182855
Hamis wewe ndo Flano wa unyumbuni. Kule kwetu huonekani ila huku wanakuona mpaka wanakukimbia πππWachezaji wa Manjesta wamewasili jioni hii kwa Tapeli Nabii na mtume Bushiri kuoakwa mafuta
ππHamis wewe ndo Flano wa unyumbuni. Kule kwetu huonekani ila huku wanakuona mpaka wanakukimbia πππ
Na badoHadi may tutarudi tena na "bring back era come to an end"View attachment 3183150
Hata wafanya usafi na watunza mazingira wa Old Trafford wameanza kulegalega kwenye majukumu yao kama wachezaji uwanjani?
Wafanya usafi wanaona wachezaji hawana faida bora wawamalize tuHata wafanya usafi na watunza mazingira wa Old Trafford wameanza kulegalega kwenye majukumu yao kama wachezaji uwanjani?