The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ubaguzi tu. Amorin ni baguzi kama Pep.Kumtoa Rashford mkopo kulikuwa na maana gani?
epl tutaimaliza 9marchMnajitahidi sana kutafuta Kila namna mshuke daraja🤠🤠🤠...kimzahamzaha hivihivi mnawafqta Sheffield United kwny ligi Yao.....
mtashinda 3-2Sijui tumuachie West Ham atupige leo ili awaruke.....
Vipi mmepiga kamubaki?Njooni 2-2
kamejiangusha kenyeweDuh refa kaamua kupeta
Kwa ligi ya kwetu Kibongo bongo ile ni penalty 100%😂.....ile naona km alijirusha hv alizidisha manjonjoVipi wakuu Ile ni penalty au sio penalty!?