In red!! That is Classic...ha ha that was funny!!! Ila duh tumechukulia ubingwa nyumbani kwa Abramovic!!!
ilikuwa zali lenu tu......
ilikuwa zali lenu tu......
Hata kama zali, kumbuka mechi ile ilikua ni mwisho wa safari ndefu na ngumu!
Duh,ila nasikia kwenye "fights" jamaa wa Chelsea wametembeza vibano vya nguvu!! LOL....angalau hiyo ina fariji.
Yes i said it....its not over till its over...and now its over......
Duh kumbe tumo wengi humu ndani adi mama paroko yumo?, asa jamani mlikimbilia wapi??
One Love kwa Roya, Idimi na Icadon among th rests...Ab- pole sana ndugu yangu thats soka kwakweli na kwa wale walio anzisha thread ya Ron Vs Messi nahic washa pata jibu jana.
One Love One United!!!
ila nasikia kwenye "fights" jamaa wa Chelsea wametembeza vibano vya nguvu!! LOL....angalau hiyo ina fariji.
Ha ha wewe utakuwa mshabiki wa Liverpool si bure... Ila ndio hivyo zali ama si zali tumewachapa waungwana tena nyumbani kwa bosi wao...Tulishasema humu Kwenye UEFA SAF ni kitu kingine kabisa!!
Ab-Tich, Unakumbuka ile video ya Red Army? Najua unaikumbuka.
Icadon,
Kwa kweli u guys can rub this thing into our faces..haidhuru!
Nakumbuka ile video ya Red Army ijapokua iilkua for
Man U fans...nami niliichungulia.
Kisha my comments on the uwanja sio kama excuse..I was just calling
it as it is.Infact wachezaji wa Man U nd'o waliopata hard time na uwanja
but kwa ujasiri wao they came up on top.So I hope I'm taking anything
away from your victory....
Kutushinda mlitushinda lakini chenga tuliwachapa....LOL!!!..
Kiongozi JT kakosa hapa sijui anazuga au ...