Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waondoke wote.Hii futafuta cha ajab Rushford nillView attachment 3017283
Haya
1, 4, 8, 11 hawa wabakiHii futafuta cha ajab Rushford nillView attachment 3017283
Greenwood nafikiri ni kwa sababu tu ya ile skendo yake timu ili kulinda image yake inalazimika kumuacha aondoke akatafute maisha kwingine ila peristr sio man utd standard kashapewa sana nafasi na hajawahi kufanya maajabu apewe tu thank you akapambane kwingine kama yule pereira alivyoacha akaenda zake fulham . Nimesikitika hao win bisaka, mctomnay na lindeloff hawa ni wachezaji wa daraja la kati wangebaki tu wawe squad players.Nmesikitika sana hapo namba 8 na 11. Nawaona vijana wakiwa nyota huko mbeleni!
Hapo kwa Bisaka nakubaliana na weweGreenwood nafikiri ni kwa sababu tu ya ile skendo yake timu ili kulinda image yake inalazimika kumuacha aondoke akatafute maisha kwingine ila peristr sio man utd standard kashapewa sana nafasi na hajawahi kufanya maajabu apewe tu thank you akapambane kwingine kama yule pereira alivyoacha akaenda zake fulham . Nimesikitika hao win bisaka, mctomnay na lindeloff hawa ni wachezaji wa daraja la kati wangebaki tu wawe squad players.
1, 4, 8, 11 hawa wabaki
Hao wanaenda kukiwasha huko mbele ya safariNmesikitika sana hapo namba 8 na 11. Nawaona vijana wakiwa nyota huko mbeleni!
EtH kipara atakusikia kweli?1, 4, 8, 11 hawa wabaki