Manchester United Transfer overhaul

Manchester United Transfer overhaul

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Hii futafuta cha ajab Rushford nill
Screenshot_20240614_155710_Lite.jpg

Haya
 
Nmesikitika sana hapo namba 8 na 11. Nawaona vijana wakiwa nyota huko mbeleni!
Greenwood nafikiri ni kwa sababu tu ya ile skendo yake timu ili kulinda image yake inalazimika kumuacha aondoke akatafute maisha kwingine ila peristr sio man utd standard kashapewa sana nafasi na hajawahi kufanya maajabu apewe tu thank you akapambane kwingine kama yule pereira alivyoacha akaenda zake fulham . Nimesikitika hao win bisaka, mctomnay na lindeloff hawa ni wachezaji wa daraja la kati wangebaki tu wawe squad players.
 
Greenwood nafikiri ni kwa sababu tu ya ile skendo yake timu ili kulinda image yake inalazimika kumuacha aondoke akatafute maisha kwingine ila peristr sio man utd standard kashapewa sana nafasi na hajawahi kufanya maajabu apewe tu thank you akapambane kwingine kama yule pereira alivyoacha akaenda zake fulham . Nimesikitika hao win bisaka, mctomnay na lindeloff hawa ni wachezaji wa daraja la kati wangebaki tu wawe squad players.
Hapo kwa Bisaka nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom