Manchester United vs Liverpool

Manchester United vs Liverpool

Bas wakaze msuli #inaweza kua n ming gem
 
Sasa mdogo wangu unaposema EPL watu wanaangalia nani kati ya Man Utd na Liver atamaliza top 4 huoni kama unalamba ugoro na kuchanganyikiwa?

Watu wanaangalia nani atakuwa bingwa? Kati ya Man City na Arsenal. Alama 5 tu zikiwatenganisha.

Watu wanaangalia nani atashuka daraja? Kwa maana timu ya mwisho Southampton na Crystal Palace iliyopo nafasi ya 12 tofauti zao ni alama 5 tu.View attachment 2548075

Sasa unapotuambia EPL watu wamebakiza kuangalia top 4 ya Liver na Man Utd lazma tukushangae kama ni akili zako tu au ugoro ndani yake??

Sasa arseno tushajua anachukua kaka ila kuna ligi nyingi ndani EPL ndio ipo kwa man u tottenham Newcastle na Liverpool kuangalia nani atamaliza kwenye top four
 
Sasa arseno tushajua anachukua kaka ila kuna ligi nyingi ndani EPL ndio ipo kwa man u tottenham Newcastle na Liverpool kuangalia nani atamaliza kwenye top four
Umejua wewe na nani kama Arsenal kashachukua ubingwa? Its not over until its over
 
Back
Top Bottom