BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Acha kufananisha man utd na vitu vya kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omog anakujaje hapa.Tuma Salamu Kwa OmoG
"NeVeR_sAy_NeVeR"
Ngoja tuvumilie mkuu.Mi pia ni Yanga man u ila acha tu niendelee kulia lia kwa kua kule mbele wananipoza machungu iko siku labda furaha yetu ya siku za nyuma itarudi
😛😛😛😛Lwandamila nae kaxhindwa kuixhabikia yanga kasema nae anaamia man u
Kwa hiyo mwenyekiti mstaafu tunaenda nae sawa kwenye mapito magumu.Mwenye timu anamsala mtaachwa kufungwa!
Oooh...What a coincidence! Just the way I do. Let's hope for the best.Mimi Yanga na Liverpool na Madrid.Miaka ya nyuma hapa Yanga na Madrid walipa raha zote nilizozitaka katika soka,safari hii hata Madrid inanipa wasiwasi.
Mungu atatulipia siku moja.Oooh...What a coincidence! Just the way I do. Let's hope for the best.