ππππna akichukua mtarudi na ramli zenu kusema "amebahatisha"Ndani ya miaka 3 hatochukua hata kikombe cha kahawa
Man u wamekulupuka.
Mjukuu wa sheikh Yahaya tumekusikiaNdani ya miaka 3 hatochukua hata kikombe cha kahawa
Man u wamekulupuka.
Kwa msimu huu sihesabu chochote kwa kweli. Ole amepewa timu ikiwa na hali tete.Baasi!! Manchester wanaanza kwa kutolewa uefa champions league, na matokeo ya kusua sua, wao na Tottenham watagombea nafasi ya 4.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan tunasema ndio kuna anza "kuhappen"
ππππna akichukua mtarudi na ramli zenu kusema "amebahatisha"
πππππππBila shaka wewe ni shabiki wa "NEXT SEASON"Akichukua kombe lelote ndani ya miaka 3 nitajitolea kuwapeleka mwezini mashabiki watatu wa man u kutoka tanzania bure kabisa
Haha tuombe uzimaπππππππBila shaka wewe ni shabiki wa "NEXT SEASON"
Kijana subiri msimu ujao uone maajabu.