DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,533
- 2,709
Timu ya soka ya Manchester United leo imemtangaza Ole GUnnar Solskjaer kuwa kocha wao kwa mkataba wa miaka 3
Solskjaer ambaye December mwaka jana aliteuliwa kuwa kocha wa muda kuchukua nafasi ya aliyekuwa kocha wao Jose Mourinho
Solskjaer alikuwa ni mchezaji wao kwa kipindi cha miaka 11, anakumbukwa zaidi kwa kufunga goli la ushindi katika mechi ya fainali ya kombe la Ulaya mwaka 1999 dhidi ya Bayern Munich
Sent using Jamii Forums mobile app
Solskjaer ambaye December mwaka jana aliteuliwa kuwa kocha wa muda kuchukua nafasi ya aliyekuwa kocha wao Jose Mourinho
Solskjaer alikuwa ni mchezaji wao kwa kipindi cha miaka 11, anakumbukwa zaidi kwa kufunga goli la ushindi katika mechi ya fainali ya kombe la Ulaya mwaka 1999 dhidi ya Bayern Munich
Sent using Jamii Forums mobile app