last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Kwa neymar+Mbape+Cavani,daaa utuhurumie sisi na dunia nzimaSasa PSG asibwete,usiku wa UEFA champions utakuwa mkali sana kati ya Hawa man utd na Psg,ninaamini PSG anaweza kutolewa na Man utd sasa,wachezaji watakuwA wana morali mpyaaaaaa kabisa.
Hata kama angekuwa na trillion laki saba point ya msingi kuanzia sasa hana ajira kama mimi. Ni jobless, mzurulaji tu mpaka hapo atakapoajiriwa tena, huwezi jua na mimi naweza kuwa nimeajiriwa tukawa bado hatuna tofauti tu.Huku anamtaji wa karibu Billion 75+za kitanzani atakazolipwa kutokana na kufukuzwa kazi
Hata kama angekuwa na trillion laki saba point ya msingi kuanzia sasa hana ajira kama mimi. Ni jobless, mzurulaji tu mpaka hapo atakapoajiriwa tena, huwezi jua na mimi naweza kuwa nimeajiriwa tukawa bado hatuna tofauti tu.
Wale ndio waajiri wakubwa si ajabu hata mourinho akaajiriwa na bakheresa afundishe vijana wake wa pale chamazi kama wale wazungu aliowaajiri kule ndani watengeneze ice cream na ngano.Kwani Bakheresa na Dangote wanFanya kazi wapi
Bakheresa amuajiri mou" kupata vichekesho hivi tunafanyajeWale ndio waajiri wakubwa si ajabu hata mourinho akaajiriwa na bakheresa afundishe vijana wake wa pale chamazi kama wale wazungu aliowaajiri kule ndani watengeneze ice cream na ngano.
Bakheresa na dangote ni Madon.. Mourinho ni mwajiriwa kibarua kama wafanyakazi wa mkonge wa zamani.
Namaanisha bakhersa ndio mwajiri na mourinho ni mwajiriwa katika mfumo wa financial system ya Dunia.Bakheresa amuajiri mou" kupata vichekesho hivi tunafanyaje
Akafie mbali huko. Kitu pekee alichonifurahisha Mourinho tokea namjua ni ile interview ya juzi Jumapili baada ya kuchabangwa na Liverpool, zaidi ya hapo sikuwahi kuelewa anaongea nini.
Kweli Mkuu. Carrick sio kuongeaji! Hao wawili hao........wanaongeaaaaaa.......!Nafikiri Unamzungumzia Neville au scholes na sio carrick!!!
Ulikuwa unafurahishwa na matokeo aliyoyaacha alikokuwa?Tuleteeni Uncle Wenger basi.....
Nafikiri ni mutual agreements!!!
Kweli Mkuu. Carrick sio kuongeaji! Hao wawili hao........wanaongeaaaaaa.......!
Huyo Neville walipewa timu kule Hispania, walifanya vibaya sana, na kufurushwa!
Inawezekana mkuuKafukuzwa, Mutual agreement wasingetoa press release kama ile.