kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 618
- 1,258
Zahera ndio nani huyo mzee baba?Man u hawamuoni Zahera.. Ysnga si wanamzingua wamchukue ni bonge la kocha fikiria wachezaji hawajalipwa mishahara lkn timu inashinda.wakat Man u mishahara ni mikubwa tena kwa wiki si watachukua ata kombe la dunia wakiwa na Zahera
Inawezekana mkuu
Soma ESPN FC, Mourinho sacked:
Manchester United have sacked Jose Mourinho after Sunday's defeat at Liverpool left the club 11 points adrift of the Premier League top four.
He was informed of the decision at the club's Carrington training ground on Tuesday, with executive vice chairman Ed Woodward delivering the news in person around 9:30 a.m.
Nakubali 100% jamaa amemmaliza Sanchez, martial Na alikua anaenda kumaliza pogbaMkuu wareno wanaroho mbaya tangu enzi za ukolonī
Kirusi kimeondolewa Man U. Sasa utapigwa mpira wa ukweli
Hao ni wapiga kelele tu.Pamoja na kwambo JM kazingua sana msimu huu pale Man U,ila me nafikiri shida kubwa ya Man U ipo kwa wale ex players wanaojiita class of 92 sijui,wale ndio kirusi kikubwa sana pale.
Kwa aina ya wachezaji walio nao Man hata aje nani bila kufanya mabadilko hakutakuwa na kipya kabisa...
Hao ni wapiga kelele tu.
Man ina falsafa yake. Mpira wa kushambulia. Huwa nashindwa kuelewa kama walidhani Mourihno ataacha mambo yake ya kujihamihami hata vitimu vya ovyo.
Kwa Lukaku awe mzuri akiwa Everton au timu yake ya taifa lakini awe hovyo Man U?
Ni mfumo mufilisi wa Mourinho. Aende zake mwizi mkubwa.
Upo sahihi mkuu,nilikuwa nashangaa sometimes kwanini Mourinho anacheza mpira wa kudefend hata kwa vitimu vidogo ambavyo Man u wanavizidi kila idara!!!Hao ni wapiga kelele tu.
Man ina falsafa yake. Mpira wa kushambulia. Huwa nashindwa kuelewa kama walidhani Mourihno ataacha mambo yake ya kujihamihami hata vitimu vya ovyo.
Kwa Lukaku awe mzuri akiwa Everton au timu yake ya taifa lakini awe hovyo Man U?
Ni mfumo mufilisi wa Mourinho. Aende zake mwizi mkubwa.
Hakuna team ilikuwa na strikers wengi kama Man U.Mkuu falsafa ya Man utd ni strong defence, strong holding midfield na kucheza pasi ndefu wakiwa na mtu mmoja mkiambiaji kama Ronaldo au Cantona... Falsafa ya OT inahitaji watu wa kazi kama Keane, Rio, Vidic nk sio mabishoo kama Pogba, Lukaku, Matial nk.. Mtu pekee ambaye angeweza Falsafa ya OT ni Mourinho pekee wengine alikosa watu tu..
Pamoja na kwambo JM kazingua sana msimu huu pale Man U,ila me nafikiri shida kubwa ya Man U ipo kwa wale ex players wanaojiita class of 92 sijui,wale ndio kirusi kikubwa sana pale.