...Ila kwa kuwa wewe ndo unaonekana unataka kuanza ushabiki leo ndo mana kakwambia hivyo..
Vinginevyo shangilia Man Utd, utafurahi!!!
bj, uliona salamu tulizotuma jmosi kwa mtafuna big g. Yani, ngoja niweke pop corn kwenye microwave kabisaaa tayari kwa kuserebuka manake manake imarati hatoki mtu.
BJ, Uliona salamu tulizotuma Jmosi kwa mtafuna Big G. Yani, ngoja niweke pop corn kwenye microwave kabisaaa tayari kwa kuserebuka manake manake Imarati hatoki mtu.
...anakudanganya huyo!!! πππ ha ha ha haaaaaa!
Shadow!
Naamini zilimfikia Fergie! Kweli mkishinda leo hapalaliki kuanzia hapa jamvini..Haya pasha moto mahanjumati ili mambo yawe sawa wakati wa mechi.
Baby njoo skype tuongee mapenzi wachovu hawa Arsenal wategemee miujiza isiyokuwepo!
This is unbearable to watch, am going to Starbuck for a cappuchino, there are other better things in life than stupid football!
He he! nimeshangaa mara hii 2-0. anyway mpira 90mnts! please come,I'm there my dear..Ronaldo juuu