Mandatory quarantine for tourist returning from Tanzania hurting tourism

I really want to see his thesis, where can I get it?
I believe people have seen it, but I am not sure if you can gets it anywhere, now he is a president.

I might be wrong but still even if you gets it, make sure you are alone, if one sees you smiling while reading it you may get in trouble.

They might think you are laughing at his paper.
 
Tanzanian officials claim to have covid-19 under control, how do they control it?!

Liars and phony people should be hanged in the future, just to restore integrity and dignity.
They don't tell us,what scientific evidence we have to confirm we are Covid 19 Free?
 
Reactions: BAK
Mabeberu na makuwadi wao wanaendelea na kazi yao ya kuipunguzia Tanzania watalii. Jiulize story ndefu lakini hataji hizo nchi zinazowaweka Wananchi wao karantini wakirudi kutoka Tanzania!!!!
 
The lying about COVID19 situation in Tanzania is now costing the country big time and I am not sure it’ll be for how long.
Unaandika ujinga kutafuta sympathy kwa chama chako cha kisiasa. Unafahamika kama mpenzi wa Chadema na unapotosha watu ukijua ukweli. You have neither data nor single evidence to support your piece of nonsense.
 
The question is. why do they allow their citizens to travel to Tanzania in the first place?

I don't see any big deal in this, we should be worried when tourists are not visiting our country and not when they are going back to their home countries after visiting our beautiful county.

Our tour operators should know that, the practice of 14 days .self quarantine after visiting a foreign nation has become an established norm all over the world. Th
 
Do we have a mandatory 14 day quarantine in Tanzania? I think you are joking.
Please understand!! Here they are talking of mandatory 14 days quarantine in the tourists home countries and not in Tanzania
 

Jamani, you can gets it?? You gets it?? [emoji23][emoji23]
 
Hata kama corona ipo tz ila jamani sio kiivyo kulinganisha na huku Europe. Or maybe tz hakuna kupima ndio maana mtu anaweza akawa nayo na akapona tu mwenyewe. Kwa jinsi watu wanavyoishi no social distancing no mask. Sehemu nyengi msongamano kama kariakoo. Tatizo wazungu wanajua upo tu tena mwingi ndio maana katika list za ukirudi nchini mwao ni ndani 14 days.
Kwenye news ni hivyo 14 days ila in reality hakuna anaekufatilia kama umekaa ndani au umetoka is up to you. Hapo airport yao huulizwi chochote ( naongelea experience yangu ) na mimi muhanga wa kukaa hizo 14 days)
 
mkuu wangu kuna jambo hujaelewa hapo. Watu walio wengi wana likizo wiki mbili za kutembea.
Sasa atumie wiki zake mbili na akirudi kwao ajifungie wiki mbili zingine. Tayari kaharibu huko kazini kwake. Kwahiyo uamuzi ni kutokuja Tanzania na kufanya likizo yake kwao au kwenye nchi ambazo akirudi hahitaji quarantaine.

Sababu ya pili ni kwamba karibu nchi zote za Ulaya na Marekani travel advices zao ni don’t travel to Tanzania unless it us essential. Maana yake ni kwamba travel insurances zote kuja TZ hata ukiwa nayo inakuwa invalid. Ukipata majanga huko hakuna wa kukusaidia. Sasa wangapi wako tayari kuchukua risk hiyo?

Hizo sababu mbili ndio zitafanya ichukue muda mrefu sana utalii mkubwa kurudi TZ.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…