Mandatory quarantine for tourist returning from Tanzania hurting tourism

The lying about COVID19 situation in Tanzania is now costing the country big time and I am not sure it’ll be for how long.
Tueke siasa pembeni kidogo hapa.

Sasa si tunajua jinsi Covid19 inavosumbua mataifa ya wenzetu au sio? wanakufa hadi watu 4000 kwa siku au sio? Tunakuta wenzetu wana karantini, wanatumia kila mbinu kujikinga lakini bado wanakufa kwa mafungu ya nyanyakama vyombo vyao vinavosema au si kweli?

Hebu turudi hapa kwetu Tanzania tuone uhalisia wa mambo.

Si unaona pale kariakoo watu wanavyosongamana? si unaona hakuna tahadhari yoyote inayochukuliwa? si unaona kwenye usafiri wa umma mambo yalivyo? yaani in short, si unaona kuwa watanzania hatuchukui tahadhari na tunaishi kama hamna corona vile? Kweli sisi wakukosa vifo 4000 na kuendelea kwa siku? na kama ni ivo kweli, kweli tunaweza kuficha vifo vyote ivo namna hio? Okay labda Tanzania bara ni nchi kubwa na watu wengi na maeneo ya kuzika yanaweza kuwa mengi na mengine mtu usijue yako wapi.

Tuje nyumbani kwetu Zanzibar, visiwa vyenye watu milioni 1 na nusu labda tuseme. Kwenye suala la tahadhari hakuna tofauti na bara kabisa.

Kweli kutokee vifoo vingi vya corona Wazanzibari tusijue? Jinsi ilivokuwa hatuna tahadhari, si ajabu sote wazanzibari tukawa na corona.

Turudi kwenye Siasa kidogo,

Leo hii wagombea upinzani hao hao ambao wanasema Serikali inaficha data, wanakwenda kwenye mikutano wakiwa hawana barakoa, na watu wamekusanyika hamna tahadhari yoyote..

What is happening sasa?

Kifo lazima kikuumbuwe tu.
 
Do we have a mandatory 14 day quarantine in Tanzania? I think you are joking.
Hujaelewa
Ni hivi, 14 days Mandatory quarantine ni wanaporudi Ma Kwao kutoka Tanzania
 
Reactions: BAK
I don't think if you read and understood the context of this informative piece of information.

Read slowly and pay attention to what you are reading, you can read as many times to get it, don't rush, it is going no where.
Lugha Mkuu
 
Nchi mbali mbali duniani katika juhudi za kupambana na COVID19 zina haki ya kuamua kufanya vile watakavyo kuhusu raia wao wanaotoka Tanzania kama watalii/wafanyakazi/wafanyabiashara etc hasa ukitilia maanani kwamba Tanzania mara ya mwisho kutoa update za COVID19 Nchini ilikuwa April 29, 2020.

 
Perceptions matter. I always tell my students that with out a reliable surveillance system people especially outsiders may not believe what you tell them. In such situations international trade (such as tourism) suffers.
Indeed
 
What is this scientific evidence you are talking about? Is there any proved covid 19 case from a tourist who happened to visit Tanzania.?
 

Bro, Tanzania is on the lists of so many countries!! Dubai wants a negative test 96hrs before travel and another test on arrival.

In this day and age - where do you place rhetorical circus in scientific matters?? Number one said flights had been overbooked until August. This is towards the end of August, have we seen any influx of tourists??

What we did not know or inadvertently is that world travel and global economies and interlinked and interdependent. A problem in one region of the global throws tons of issues in other regions. We did not know what we can control and what we cannot and we did not respect the difference!

Time to bear the brunt of our poor and uninformed decisions. Unfortunately we will mention our neighbours because as always - we dont know (that) world travel is severely decimated!!
 
We all agree with him because he is a hero over COVID-19 2020?
No anyone claiming about pandemic across the country,
May I welcome to visit Mr at home Mbezi Kimara to see what is nice I do peacefully.
 
that's a damn lie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…