Mandi/Biriani ni mchele wa wapi huu?

Mandi/Biriani ni mchele wa wapi huu?

HII KITU TAMU SANA

1549776710095.png
 
Dont mention mkuu biriani tz hakuna wanakoipika ukiondoa migahawa ya wahindi, nlikula hii kitu mwaka mzima kila siku, nlikuwa nikien dachoo natamani kulia coz kama umepakwa pilipili vile. Sikuwa na optio n sababu ndo msosi pekee wa bei ndogo uliokuwa ukipatikana maeneo yale, nikawanabana vihela nikirudi hom nirudi ja chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom