Mandi/Biriani ni mchele wa wapi huu?

Dont mention mkuu biriani tz hakuna wanakoipika ukiondoa migahawa ya wahindi, nlikula hii kitu mwaka mzima kila siku, nlikuwa nikien dachoo natamani kulia coz kama umepakwa pilipili vile. Sikuwa na optio n sababu ndo msosi pekee wa bei ndogo uliokuwa ukipatikana maeneo yale, nikawanabana vihela nikirudi hom nirudi ja chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…