Mandojo na Domo Kaya: Tumeibiwa kila kitu tunashukuru P-Funk majani katurekodia bure

Mandojo na Domo Kaya: Tumeibiwa kila kitu tunashukuru P-Funk majani katurekodia bure

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kundi maarufu kama man dojo na Domo kaya, wameeleza walivyokuja dsm mara ya kwanza na kuibiwa kila kitu

Wameenda mbali na kutoa shukurani za pekee Kwa Producer Majani maarufu kama Paul, kwamba ndo amewatoa kimziki Kwa kuwarekodia Bule nyimbo zao nyingi bila kulipa,

Mara ya kwanza walichukua basi mpaka bongo city ,vingunguti kwa mama mdogo yao kiki yaan alikoolewa aunt, wamechukua pesa Yao wameona na buti wakaenda Kwa majani kurekok bila viatu,


Hii inaonesha siku zinavyoenda haraka sana





Pita hapa pia uone mega mix Yao yote


 
Mandojo anasoma elimu ya juu nchini Syria mambo ya Oil and Gas, Domokaya yupo nchin Nigeria anamiliki visima vya mafuta na Mtwara ana vitalu vya gesi.
Sina uhakika na niyasemayo
Kama ni hivyo itakuwa ni vyema sana, kwasababu itakuwa sio vizuri kwa watu kama wale kugombania coverage kwenye media na hichi kizazi cha .com, labda wafanye mziki for leisure tu.
 
Sasa kama hawabadiliki staili ya muziki walioanza nayo ndio hiyo hiyo, sauti zilezile, mashairi yake yake lazima vijana wanaoibuka kwa kujaribu kufuata principal za muziki hata kama hawajasomea watafute waliosoma ili wawasahishishe lazima watapitwa tuu. Hakuna sikio litakalokubali kuendelea kusikia kitu kile kile kila siku. Kuna watu walipata umaarufu sii kwamba wanajua kuimba lakini kutokana na soko wakati huo ama mashairi walioyaimba yaligusa watu bila kuzingatia utaalamu wa muziki wenyewe sasa akitulia tuu bila kwenda kujifunza do -re-mi- fa-so-la- si-do ni lazima huko mbele atakwama tuu
 
Back
Top Bottom