Mandojo na Domo Kaya: Tumeibiwa kila kitu tunashukuru P-Funk majani katurekodia bure

Mandojo na Domo Kaya: Tumeibiwa kila kitu tunashukuru P-Funk majani katurekodia bure

Sasa kama hawabadiliki staili ya muziki walioanza nayo ndio hiyo hiyo, sauti zilezile, mashairi yake yake lazima vijana wanaoibuka kwa kujaribu kufuata principal za muziki hata kama hawajasomea watafute waliosoma ili wawasahishishe lazima watapitwa tuu. Hakuna sikio litakalokubali kuendelea kusikia kitu kile kile kila siku. Kuna watu walipata umaarufu sii kwamba wanajua kuimba lakini kutokana na soko wakati huo ama mashairi walioyaimba yaligusa watu bila kuzingatia utaalamu wa muziki wenyewe sasa akitulia tuu bila kwenda kujifunza do -re-mi- fa-so-la- si-do ni lazima huko mbele atakwama tuu
Tunaangalia ujumbe
 
Mandojo anasoma elimu ya juu nchini Syria mambo ya Oil and Gas, Domokaya yupo nchin Nigeria anamiliki visima vya mafuta na Mtwara ana vitalu vya gesi.
Sina uhakika na niyasemayo
Mmh hivi hawa hawauzi duka LA viatu kariakooo mtaa wa Kongo wanajiita chambu chambu.

Au nimechanganya mafile
 
Hawa wagos wana ngoma moja wameimba na jide aisee ile ngoma ni noma sana sema waliharibu kitu kidogo tu na nikiisikilizaga hiyo ngoma hata hicho kitu walichoharibu huwa nakikosa


LONDON BOY
Haaaaaaa wanok nok
 
MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA, haya ndio mambo asiyoyataka Diamond platnumz, tatizo la Dojo na domokaya hawajajitambua mapema.
 
Back
Top Bottom