britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #21
Tunaangalia ujumbeSasa kama hawabadiliki staili ya muziki walioanza nayo ndio hiyo hiyo, sauti zilezile, mashairi yake yake lazima vijana wanaoibuka kwa kujaribu kufuata principal za muziki hata kama hawajasomea watafute waliosoma ili wawasahishishe lazima watapitwa tuu. Hakuna sikio litakalokubali kuendelea kusikia kitu kile kile kila siku. Kuna watu walipata umaarufu sii kwamba wanajua kuimba lakini kutokana na soko wakati huo ama mashairi walioyaimba yaligusa watu bila kuzingatia utaalamu wa muziki wenyewe sasa akitulia tuu bila kwenda kujifunza do -re-mi- fa-so-la- si-do ni lazima huko mbele atakwama tuu
Saivi kala bongo fleva anawaza kusifia papuchiZamani kulikuwa na vipaji vya ukweli asaiv magumashi tu
Kwahiyo muda huu ni papuchi kwanzo mwishoSaivi kala bongo fleva anawaza kusifia papuchi
Mmh hivi hawa hawauzi duka LA viatu kariakooo mtaa wa Kongo wanajiita chambu chambu.Mandojo anasoma elimu ya juu nchini Syria mambo ya Oil and Gas, Domokaya yupo nchin Nigeria anamiliki visima vya mafuta na Mtwara ana vitalu vya gesi.
Sina uhakika na niyasemayo
Et urus na tz tunatofautiana masaa mangapNgumile
Ni ndugu au?Afu huyu domokaya anafanana sana na ruge
Zamani kulikuwa na vipaji vya ukweli asaiv magumashi tu
Haaaaaaa wanok nokHawa wagos wana ngoma moja wameimba na jide aisee ile ngoma ni noma sana sema waliharibu kitu kidogo tu na nikiisikilizaga hiyo ngoma hata hicho kitu walichoharibu huwa nakikosa
LONDON BOY
Inategemea uko upande gani wa UrusiEt urus na tz tunatofautiana masaa mangap
NiajeWewe ndio mshamba mgeni mjini hicho ni kipande cha wimbo wao nimesahau jina lake hapo aliimba domokaya!