TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
- Thread starter
- #21
Jambo Squad nawanyaka hao machalii, si wa tejo sio? Waache tu uhuni wa kishamba, wana styles za kuwapeleka mbali. Janjaro ndio tumeshampoteza ama niaje?Plama ni kwikwi!! Imewamaliza kabisa kuna single FA amewashirikisha Ila ile duet Yao ilkuwa ni hatar sa hivi tunapozwa na jambo squad watoto wa bibi ingawa na wao utoto mwingi