Man'dojo na Domokaya

juz kati walikua cloudz (XXL) wanareview album yao ile wakasema wanapiga mishe kariakoo pia wako fresh wanasupport familia yao fresh yan. Leo nimekumbuka sana home aseee
Bora hata wanajiweza arif. Game ndio wamesanda kabisa, ama watakuwa wanachungulia?
 
Wapo na mbishe mingine...hakuna mteja kati yao..

Hawa jamaa niliwa shuhudia kama mwezi ulio pita wako fresh sasa nashangaa watu kusema wamekuwa mateja na jiuliza huo uteja wameanza mwezi uliopita? Na kwenye interview yao walisema wana fanya biashara na wanakwenda kurecord kila leo.!.

Kusema wao ni mateja si kweli...na kumenifanya ni kumbuke maneno yao ya wimbo wao wa wanoku naku!

" Wanakunaku watakupakazia...wasio yajua wao kuingilia .......
 
Kwa hiyo bado wanarekodi, sio?
 
Hao ya jamaa kuna ex girl wng alinambia wanauza duka la via tu kariakoo
 
Mm kila nikisikia...iwaje atupaaan...wale nooma
 
Hakuna kipindi hawakua mateja hawa_kabla na baada ya muziki ni mateja full...i know them much.

Mkuu IGWE hebu tudadavulie vizuri maana umesema unawajua vizuri.
Naona watu wanapinga hapa kua sio wateja.
 
Last edited by a moderator:
Dojo Kaya hawa sijui ilitokea nini? Labda watarudi kama Bushoke
 
Hawa jamaa wanauza mikato ya viatu ya ukweli pale kariakoo karibia na shimoni!! Nawakubali saana hawanaga kuringa aisee
 
Mateja wa kutupwa hao, Arachuga hakujawahi kutokea mwana hip hop mkali kupita spark dog, jamaa sijui yuko wapi sasa hivi

Yuko Arusha wako na bucks kundi Lao linaitwa KCK "kid can kill" sasa hivi wanatamba na wimbo wao wa kitaa wiise ambao remix yake wameimba na Adam Mchomvu
 
Umbwa si alisepaga States ama? JCB pia niliskiaga atatembea. Yusso huyo bado simsomi. KCK niliiskia 'bigidi-boost' hapo january, mpaka leo naiskiliza daily. Kuna machalii walikuwa wanajiita FBG, nao kimya.

Umbwa yuko asharudi toka States ameibadilisha sana Watengwa records sasa wanarekodi hadi video. Job yuko Denmark na mke wake Ana albamu mpya inaitwa YKMK means yani kama mbele kabisa, KCK wamerudi kwenye game baada ya bucks kurudi toka Mwanza.
FBG, northern dwellers, wakudisi, wote wamejikita kwenye mixtapes
 
Alifanya ngoma gani?

Spark dog ni miongoni mwa waasisi wa Hardcore Unity pamoja na JCB na Izzack Dog aka Lord Eyes, pamoja na chief Mastiff RIP, in late 90's walitamba na nyimbo ka rap si Mchezo. Hii Ilikuwa kabla ya spark dog kuumwa ugonjwa wa akili
 
Walishafanya yao kwa wakati wao na itabaki hivo tu
Ngoma nazozikubali ni Niaje, Taswira, Nihuku mola, Mama mwenye nyumba, ni kitu gani hasa Nk.
PIA kwenye chorus walikuwa vizuri sana sikiliza kitu kama Kinyumenyume ya Mchizi Mox au ngoma waliyofanya na Prof jay (nimesahau jina)
Kingine ni kuwa mtayarishaji kama Mika mwamba au P funky uwepo wao umewatoa wengi na kutokuwepo kwao kumewapoteza wengi

Kifimboplayer
 
Last edited by a moderator:
Yuko Arusha wako na bucks kundi Lao linaitwa KCK "kid can kill" sasa hivi wanatamba na wimbo wao wa kitaa wiise ambao remix yake wameimba na Adam Mchomvu

Spark nlikuwa nakutana naye sana pande za kaloleni na soweto mara nyingi.
 
Pia kuna wimbo walimshirikisha Maunda Zorro mzuri sana unaitwa masimango.

Nasikia wamekua wateja siku hizi!

Cyoo kwelii wamekuwa wateja balii sasa wanajishughulishaa na biashara zao mfn wana madogo ya nguo kariako na sinzaa
 
Mkuu IGWE hebu tudadavulie vizuri maana umesema unawajua vizuri.
Naona watu wanapinga hapa kua sio wateja.

Dojo ni mvuta bangi sana toka enzi na enzi_tumeishi naye pale kota za polisi arusha alikuwa anakaa kwa kaka yake anaitwa Criss,.vyumba vilifuatana hivyo namfahamu sana tu,.na huyo Domo ndio kabisaaa bangi mtu toka kitambo kutoka maeneo ya Sekei....ila Dojo anaheshima sana pamoja na bangi zake ila Domo mawenge,....anyway-huwezi jua binadamu huwa tuna badilika kulingana na mazingira.
 
Hebu thibitisha hili mkuu

Nathibitisha sababu nimeishi next door na Dojo for more than a year,..tulikua tunampa support akienda kuburudisha promotion za TBL,akienda Triple'a',...namfahamu vizuri tu,....labda kama kaacha siku hizi,....mimi sina tabia za kuropoka na kupakazia watu mabaya_najijua na hata dunia inanijua hivyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…