GSM tena? huu usimba na Yanga unawaharibu akili watuTangu gsm waingilie suala la Mandonga na kupewa jezi ya utopolo hata ushindi wanajaribu kumtafutia kimchongo mchongo.
Utaona waamuzi tayari wamekuwa na utata kwenye kazi zao
Mandonga anapigana Exhibition ni boxing ya kujifuhishaBondia kwa mwaka anatakiwa kupigana mapambano mawili yeye anafanya kama sifa madhara yake hataona sasa hivi ngoja umri usogee kidogo atajuta
Street fightNafikiri sasa ni muda muafaka cha chama kinachosimamia mchezo wa ngumi kumzuia Mandonga kupanda ulingoni.
Kwanza huyu jamaa anahatarisha usalama wake, ngumi sio mchezo wa kupanda panda ulingoni kila mwezi.
Pili anaudhalilisha huu mchezo, inaonekana ni kama anafanya comedy.
Tunajua anatafuta ugali wa familia, lakini miiko ya mchezo husika lazima izingatiwe.
Kama ni fights mbili kwa mwaka hao mabondia wanao pigana Olympic inakuaje maana mpka afike final ni games zisizo pungua 4 tena ndani ya mwezi mmojaBondia kwa mwaka anatakiwa kupigana mapambano mawili yeye anafanya kama sifa madhara yake hataona sasa hivi ngoja umri usogee kidogo atajuta
Kwani mimi nimesema wamfungie. Nimesema wamzuie. Kuzuiwa inaweza ikawa kwa sababu maalumu na badae ukaendeleaNdo ungesema wamkataze kupigana michezo mingi kwa muda mfupi..!! Why wamfungie?
Tukisema kila mtu asifate utaratibu au aidhalilishe taaluma/tasnia fulani ili tu ailishe familia yake tutasababisha fujo kubwa sana. Mchezo wa ngumi una miiko, sheria na taratibu zakeFamilia yake utaihudumia wewe?
Acha wivu
Hakuna mwenye shida na umaarufu wa mandonga ni jambo la kufurahia pale kijana mwenzetu anapofanikiwa. Anaweza kufata utaratibu na miiko ya huu mchezo na akaendelea kuwa maarufuUkweli uwekwe wazi mandonga kawazidi mabondia wengi kwa umaarufu na mafanikio..............ndani ya muda mfupi account yake ya benki imevimba millioni 10 na kausafiri amejipatia......
Hawa watu hawajui jinsi boxing ilivyo katili Mohamed Ali mwenyewe alikuwa anatetemeka maisha yake yote baada ya kustaafuHakuna mwenye shida na umaarufu wa mandonga ni jambo la kufurahia pale kijana mwenzetu anapofanikiwa. Anaweza kufata utaratibu na miiko ya huu mchezo na akaendelea kuwa maarufu
Kwani mimi nimesema wamfungie. Nimesema wamzuie. Kuzuiwa inaweza ikawa kwa sababu maalumu na badae ukaendelea
ππππ
Stop nimemaanisha kusimamishwa tu ili ufanyiwe ukaguzi mfano barabarani unasimamishwa na trafiki baada ya kujilidhisha hauna kosa anakuachia uendelee na safari yako ningesema apigwe ban hapo ndo ningemaanisha kuachishwa kabisa kupanda ulingoniView attachment 2367685
Kupigwa stop kupanda ulingoni maana yake nini?
Huyu jamaa Muingereza alipigwa hadi damu ikaganda kwny ubongo, akafanyiwa Operation sita (6) kuondoa damu
Hayupo siriaz ashajua akileta mizaha ndo anatrend zaidi, mchezo wa ngumi utaonekana ni maigizo na mizaha au comedy fulani kwa sababu yakeNilichokiona Mandonga aliwekwa katika list ya mabondia wataopanda uliongoni mwishoni kabisa,maana mwanzoni hakuwepo katika ratiba! Sasa nadhani hakufanya mazoezi ya kina,maana alivyocheza na Kaonneka alicheza vizuri kuliko ule utopolo wa jana na mpinzani ambaye sio mzuri.