Mandonga alishinda tena pambano lake huko Nairobi Kenya kwa kumpiga Keneth Lukwamuzi, juzi Jumapili.
Nimeona nipost hii habari japo kwa kuchelewa ikizingatiwa jamaa alikuwa anaiwakilisha nchi. Baada ya ushindi, Mandonga alisema atarudi Nairobi kumpiga (jina nimesahau).
Inaonekana Mandonga ana afya nzuri, maana baada ya mwezi atapigana tena pambano la kimataifa.
Nimeona nipost hii habari japo kwa kuchelewa ikizingatiwa jamaa alikuwa anaiwakilisha nchi. Baada ya ushindi, Mandonga alisema atarudi Nairobi kumpiga (jina nimesahau).
Inaonekana Mandonga ana afya nzuri, maana baada ya mwezi atapigana tena pambano la kimataifa.