Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Maandalizi ya safari muhimu ya tuendako🤔Bondia Maarufu wa Tanzania , Mandonga , amepata bahati ya kukutana na Mwanasiasa Mashuhuri mwenye koneksheni Kubwa Duniani , Godbless Lema...
Tunataka tumpeleke mbele akapate mapambano mawili ili ajenge ghorofa lake Mikese au Kingorwila , siyo hizi hela za vocha anazopewa hapa bongoMaandalizi ya safari muhimu,ya tuendako[emoji848]
Kama alisema bodaboda ni kazi ya laana,huku kwenye ngumi atasemaje?Bondia maarufu wa Tanzania, Mandonga, amepata bahati ya kukutana na Mwanasiasa Mashuhuri mwenye koneksheni kubwa Duniani, Godbless Lema...
Narrow minded!Kama alisema bodaboda ni kazi ya laana,huku kwenye ngumi atasemaje?
Nipo paleeeeeeeeeeh[emoji1485]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiacha Pinda na Samia hakuna Mbongo asiye ChademaKwa hiyo Mandonga ni Chadema?
Mashuhuri ni kitu pendwa katika jamii husika, unaweza kuwa maarufu Kama amber ruty Ila usiwe mashuhuri,lema umashuhuri kaupata lini!?Mmaarufu wa Tanzania, Mandonga, amepata bahati ya kukutana na Mwanasiasa Mashuhuri mwenye koneksheni kubwa Duniani, Godbless Lema...
unateseka ukiwa wapi ?Mashuhuri ni kitu pendwa katika jamii husika, unaweza kuwa maarufu Kama amber ruty Ila usiwe mashuhuri,lema umashuhuri kaupata lini!?..hapo mandonga ndiye maarufu na mashuhuri,lema maarufu tu(kiarabu yaani anayejulikana,mzizi wa neno ni maarifa)
Nikiwa ufipa na buyu la asaliunateseka ukiwa wapi ?
Mlunga mbuga,toka jangwa la SaharaAnangumi yake mpya inapiga hata asipoirusha
[emoji38][emoji38][emoji38] Ngoja akatakatishwe marekaniHuyo bondia amekulia sana ugali, mbona asidumae kiakili?