zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
mzungu ni mandonga mweupeKiki ya mandoga imeshazima sasa hivi tupo na mlete mzunguuuuuuuu
mzungu na mandonga wote vibonde, wiki hii wametakata wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzungu ni mandonga mweupeKiki ya mandoga imeshazima sasa hivi tupo na mlete mzunguuuuuuuu
Hapa Mandonga kachemsha,tunajua lile ni igizo tu Ila kwa vile sanaa yake ya maigizo iko katika kushindwa pambano, na hili angeigiza kushindwa tena ndiyo angekonga nyoyo za washabiki wake.Ushindi wake ndio njia yake ya umaarufu kuisha, trust me guys.
Hahaha[emoji23]Karim Mandonga leo katika pambano la kuhamasisha Sensa , lililopigwa kwenye viwanja vya Leaders Club amepiga mtu 1st roound na kumaliza ubishi .
Kwendraaaaa[emoji1787]Mandonga katakata kama mzungu wa simba
Mkuu amia Yanga, utateseka sana mwaka huuKwendraaaaa[emoji1787]
sioni kosa kama wamepimwa uzito na wote wako sawaHawa waliondaa huu mchezo ni lazima wakamwatwe na kushtakiwa kosa kubwa katika mchezo kupanga ni kosa la jinai ila kama lilikuwa pampano la kuchangisha kitu au kuhamasisha kitu fulani au tangazo la biashara nitaelewa ila kama wako serious basi walioandaa wakamatwe haraka na chama cha ngumi kichukue hatua kali wana najisi mchezo wa ngumi. Hii ni staged kabisa imepangwa
hivi umeona video ya pambano? kitu kinaonekana fake mtu ana act kupigwa ngumi zinapita huko anajiangusha wazi kabisasioni kosa kama wamepimwa uzito na wote wako sawa
duh sijaangalia video basi kuna tatizo hapohivi umeona video ya pambano? kitu kinaonekana fake mtu ana act kupigwa ngumi zinapita huko anajiangusha wazi kabisa
Kuna siku Mandonga aling'atwa na nyoka mwenye sumu kali..... baada ya siku 5 za uchungu mkubwa, nyoka akafa!!!!
Kuna siku Mandonga aling'atwa na nyoka mwenye sumu kali..... baada ya siku 5 za uchungu mkubwa, nyoka akafa!!!!
umetishaExpendable 2
Line ya Chuck Norris.
Hao wasenge waache kukariri..Mashabiki wamechachamaa 😂😂View attachment 2331082View attachment 2331083
katika wachangiaji wote,we ndio umeandika point na fact!Akipigwa kila siku pia itazoeleka watu watampotezea watajua huyu hana jipya tena zaidi ya kupigwa na umaarufu wake utaisha